10th June 2017
PICHA ZA BAADHI YA WANASOSHOLOJIA WALIPOPANDA MLIMA UDOM-SOCIAL. (click a photo to zoom)
**************************************************************************
10th June 2017
PICHA ZA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAPYA WA UDOMSSO (click a photo to zoom)
******************************************************************************
20th May 2017
PICHA ZA BONANZA LA KUAWAAGA WAHITIMU (click on a photo to zoom)
********************************************************************
16th May 2017
PICHA ZA WANAFUNZI WA SOCIOLOGY WAKIWA MBELE YA UKUMBI WA BUNGE WALIPOTEMBELEA BUNGENI. (click on a photo to zoom)
 |
| Baadhi ya viongozi wa UDOMSSO |
 |
| Baadhi ya wanafunzi wa mwaka wa tatu |
 |
| Baadhi ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza |
 |
| Baadhi ya wanafunzi wa mwaka wa pili |
 |
| Viongozi wa UDOMSSO |
******************************************************************************
29th April, 2017
PICHA MBALIMBALI ZA MKUTANO MKUU WA WANA-SOSHOLOGY
(Click on a photo to zoom)
 |
| Mkuu wa idara akionesha Cheti |
 |
| Mwenyekiti wa UDOMSSO (kulia) na Mkuu wa Idara |
 |
| Mkuu wa Idara akiongea na wanafunzi kwebye mkutano |
 |
| Baadhi ya wanafunzi waliohudhuria kwenye Kikao |
 |
| Katibu Mkuu wa UDOMSSO Stanley Mellack |
 |
| Mwenyekiti wa UDOMSSO James Simon |
 |
| Mkuu wa Idara ya sosholojia ndugu Dr.Ishengoma. |
 |
| Mkuu wa Idara ya Sosholojia akizindua Blog kwa kuiweka "public" |
 |
| Mhasibu Msaidizi dada Regina Mariki |
 |
| Baadhi ya wanafunzi waliohudhuria |
***********************************************************************
15th April, 2017.
PICHA MBALIMBALI ZA WANA-SOCIOLOGY WAKIWA ENEO LA HOSPITALI YA MKOA DODOMA SIKU YA KUTOA MSAADA WA VIFAA VYA MATIBABU NA UCHANGIAJI WA DAMU HOSPITALINI HAPO.
(Click on a photo to zoom)
 |
Mshauri wa Damu Salama, Dokta Leah akiongea na wanafunzi wa sosholojia.
|
Makamu Rais wa UDOMSSO, Joseph Mhava (wa kwanza kushoto) akiongea neno akiwa na dokta Leah na wanafunzi wengine wa sosholojia.🔻
 |
| Katibu wa Hospitali Dr.Issack (kushoto) |
 |
| Dokta Leah (kushoto) na mwenzake wakiwa na wameshikilia boksi lenye vifaa vya kimatibabu vilivyotolewa na UDOMSSO |
 |
| Makamu Rais wa UDOMSSO Joseph (katikati) akiwa anafurahia jambo wakati wa uchangiaji damu |
 |
| Rais wa UDOMSSO Mr.James (kulia) akikabidhi moja ya boksi lenye vifaa vya kimatibabu. |
 |
| Uchangiaji wa damu ukiendelea. |
 |
| Baadhi ya wana sosholojia waliojitokeza wakisubiri maelekezo ya utoaji msaada na damu. |
Dokta Leah (aliyesimama) wa kitengo cha damu salama akitoa mafunzo ya uchangiaji wa damu kabla zoezi hilo halijaanza.🔻
PICHA MBALIMBALI ZA UCHANGIAJI DAMU🔻
 |
| Mmoja wa wanas-sosholojia waliochangia damu, dada Jenipher |
 |
| Mwana-sosholojia, Msafiri Ponera akichangia damu |
 |
| Gerald Bundala na Jenipher |
 |
| Msafiri Ponera |
 |
| Katibu msaidizi wa UDOMSSO Mr. G.Bundala akichomwa sindano wakati akichangia damu |
 |
| Mwana sosholojia aliyejitokeza pia kuchangia damu. |
 |
Kutoka kulia waliokaa ni Rais wa UDOMSSO ndugu James , Makamu wake ndugu Mhava, Kiongozi wa taaluma Hamis Juma na kiongozi wa darasa ndugu Peter.
|
 |
| Kutoka kulia ni kiongozi wa taaluma UDOMSSO Hamis Juma, Makamu wa Rais UDOMSSO ndugu Joseph Mhava, Katibu mkuu UDOMSSO ndugu Stanley Mellack, Rais wa UDOSSO ndugu James Simon wakionesha cheti ilichotunukiwa UDOMSSO. Mwingine ni Dr. Leah. |
 |
| Hospitalini, kitengo cha damu salama |
 |
| Ndugu Peter, mwanasosholojia akichangia damu |
 |
| Rais wa UDOMSO, James Simon akichangia damu |
 |
| Gerald Bundala, Katibu msaidizi wa UDOMSSO akichangia damu |
 |
| James Simon (kushoto) na Hamis Juma (kulia) wakiwa na cheti |
PICHA MBALIMBALI ZA WANA-SOSHOLOJIA WENGINE WALIOJITOKEZA KATIKA TUKIO HILO
*******************************************************************************
8th April, 2017.
SOME PHOTOS TAKEN BEFORE AND AFTER THE MATCH BETWEEN FIRST YEAR AND A COMBINATION OF SECOND AND THIRD YEAR SOCIOLOGISTS ON 8th April, 2017.
(Click on a photo to zoom)
No comments:
Post a Comment