ABOUT UDOMSSO

The University of Dodoma Sociology Students' Organization (UDOMSSO) is an academic and social organization which is under the department of Sociology and Anthropology in the College of Humanities and Social Sciences.

MISSION

Our mission is to Organize, Coordinate and Facilitate all activities relating to our areas of interest for social progress.

VISSION

UDOMSSO has a vission to become an effective students' organization and to spearhead for a positive community for both academic and social matters which affect students' daily life and the community at large.

Translate

Friday, 8 September 2017

TUNDU LISU AHAMISHIWA NAIROBI, AFYA YAKE INATIA MOYO


Tundu Lisu

Tukio la kupigwa risasi Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antipas Lissu (Chadema) na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake jana mchana limeendelea kulaaniwa vikali na watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa, viongozi wa dini na wananchi mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii na media nyinginezo.

Lissu akiwa amefika nyumbani kwake Area D, eneo la Site Three, baada ya kuahirishwa kwa kikao cha bunge, kabla hajashuka kwenye gari watu wasiojulikana wakiwa kwenye gari linalodaiwa kuwa ni aina ya Nisani ambalo namba zake hazikutambulika, walianza kumshambulia kwa risasi.

Kwa mujibu wa ripoti ya Kamanda wa Polisi Dodoma, Gilles Muroto, risasi

DOGO MTEKAJI WA WATOTO AUAWA AKIJARIBU KUWATOROKA ASKALI.



Peter Samson, Mtuhumiwa wa utekaji wa watoto

Akizungumza na waandishi wa habari jana ofisini kwake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo alisema Peter aliuawa na askari polisi wakati akijaribu kuwatoroka eneo la Mkonoo, Kata ya Muriet jijini Arusha.

Peter Samson mwenye umri wa miaka 18 ni dogo kiumri lakini ni mtuhumiwa wa vitendo vya utekaji wa watoto jijini Arusha. Kijana Peter ambaye imebainika alikuwa akiishi na kaka yake ambaye ni askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mkoani Arusha, ameuawa wakati

NI MADINI TENA! HAYAJAMWACHA MTU SALAMA!


Waziri Simbachawene
Madini ya Tanzanite

Ripoti za kamati za uchunguzi wa biashara ya madini ya Tanzanite na Almasi zilizoundwa na spika wa Bunge Job Ndugai ziliwasilishwa na Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano ndugu Kassim Majariwa mikononi mwa rais Magufuli jana Ikulu jijini Dar es salaam. Ripoti hizo zimewataja baadhi ya viongozi wa Serikali akiwemo Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, James Mdoe; Waziri wa Tamisemi, George Simbachawene na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi, Mawasiliano Edwin Ngonyani na wengine.

Baada ya kupokea ripoti hiyo,