ABOUT UDOMSSO

The University of Dodoma Sociology Students' Organization (UDOMSSO) is an academic and social organization which is under the department of Sociology and Anthropology in the College of Humanities and Social Sciences.

MISSION

Our mission is to Organize, Coordinate and Facilitate all activities relating to our areas of interest for social progress.

VISSION

UDOMSSO has a vission to become an effective students' organization and to spearhead for a positive community for both academic and social matters which affect students' daily life and the community at large.

Translate

Saturday, 29 April 2017

UDOMSSO YAZINDUA RASMI BLOG YAKE.

Jumuia ya wanafunzi wanaosoma Sosholojia katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOMSSO) leo wamezindua Blog hii na kuiweka rasmi katika mfumo ambao kila mtu anaweza kusoma kilichochapishwa katika Blog hii (Public readers). 
Mkuu wa Idara ya sosholojia Dr. Ishengoma akizindua rasmi Blog ya UDOMSSO na kuiweka "Public"

Uzinduzi huo umefanyika katika mkutano mkuu (general assembly) wa wanafunzi wote wanaosoma sosholojia katika chuo kikuu cha Dodoma katika ukumbi wa theatre one, skuli ya humanities na kuhudhuliwa na viongozi mbalimbali wa jumuia hiyo pamoja na wanafunzi kuanzia mwaka wa kwanza, hadi wa tatu wanaosoma shahada ya kwanza ya sosholojia. Mkutano huo pia uliweza kuhudhuliwa na Mkuu wa Idara ya Sosholojia na Anthropolojia Dokta Nelson Ishengoma....endelea..

Tuesday, 18 April 2017

WANAFUNZI UDOM WATOA MSAADA HOSPITALI YA MKOA DODOMA

Dr. Leah (kushoto) Mshauri katika kitengo cha damu salama na mwenzake wakiwa wamebeba boksi lenye vifaa vilivyotolewa na UDOMSSO.
Wanafunzi wanaosoma kozi ya Sosholojia katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) waliadhimisha siku kuu ya Pasaka kwa kutoa msaada katika hospitali ya rufaa ya Dodoma siku ya Jumamosi tarehe 15/04/2017 kupitia jumuia yao ya UDOMMSO (University of Dodoma Sociology Students' Organization).
Rais wa UDOMSSO Mr. James Simon (kulia) akikabithi moja ya boksi zenye vifaa vya matibabu vilivyotolewa na UDOMSSO.
Msaada uliotolewa na wanafunzi hao ni vifaa vya kimatibabu pamoja na uchangiaji wa damu wa hiari kwa baadhi ya wanafunzi hao.
Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na Blood bags, Nasal Gastric Tubes na Blood giving sets ambavyo...

Thursday, 13 April 2017

KISA CHA KWELI: HUYU NDO MBWA MWENYE UPENDO WA DHATI KULIKO WANYAMA NA WATU WENGI


Anaitwa HACHIKO, ndiye mbwa anayeaminiwa kuwa na upendo wa dhati na mtiifu kuliko mbwa wengine duniani. Alizaliwa Novemba 10, 1923 nchini Japan katika jiji la Tokyo. Umaarufu wake duniani ulitokana na heshima, upendo wa dhati na utii kwa Bosi wake Hidesaburo Ueno aliyekuwa Profesa katika idara ya kilimo katika chuo kikuu cha Tokyo nchini Japan.

Hachiko enzi za uhai wake

Kila mara Hachiko alikuwa akimsindikiza Bosi wake katika kituo cha treni cha Shibuya (Shibuya station) alipokuwa akipanda treni na kuelekea kazini. Mbwa huyo alihakikisha Profesa Hidesaburo amepanda treni na kuondoka ndipo na yeye anarudi nyumbani. Tofauti na wengi tusiozingatia muda; kila ilipofika jioni, Hachiko aliwahi stesheni kumpokea Bosi wake katika kituo cha Shibuya kwani alijua vyema muda wa treni kuwasili. Alifanya hivyo kila siku ambayo Bosi wake alitoka kwenda kazini na kuzidi kujizolea umaarufu. Siku moja mwezi Mei 1925 alimsindikiza Bosi wake stesheni ya Shibuya kama kawaida yake bosi alipokuwa akienda kazini. Jioni kama ilivyokuwa ada aliwahi stesheni kumpokea. Hata hivyo treni ilipowasili,.....

Sunday, 9 April 2017

TAFAKARI PICHA HII

Hapa ni Eneo la Hospitali ya Rufaa, wengine wakiita "General  hospital" ya Dodoma.


Saturday, 8 April 2017

FIRST YEAR 1 - 1 SECOND with THIRD YEAR.

Some Sociologist players (first year to third year) enjoying together with fans after a match


The First Year team was the first to score a goal through their talented striker Kamugisha Gibson in the first half of the game before a threatening Midfielder and a captain of General Sociologists team Charles Mwalusamba equalizes by scoring a good goal. Up to the end of the first half, the score board was showing 1-1.

The second half started with a tension to all players who were hardly making effort to make their team wins the game but none of them was able to score a second goal. All goalkeepers played their part effectively but the third and second year goalkeeper Yuko Mwakyusa...