ABOUT UDOMSSO

The University of Dodoma Sociology Students' Organization (UDOMSSO) is an academic and social organization which is under the department of Sociology and Anthropology in the College of Humanities and Social Sciences.

MISSION

Our mission is to Organize, Coordinate and Facilitate all activities relating to our areas of interest for social progress.

VISSION

UDOMSSO has a vission to become an effective students' organization and to spearhead for a positive community for both academic and social matters which affect students' daily life and the community at large.

Translate

Thursday, 14 December 2017

NI KWELI WANANUNULIWA AU KUNA KITU CHADEMA?

Msikilize hapa alichokizungumza Mbunge wa Siha kupitia CHADEMA Dr. Molel mara baada ya kujiuzulu nafasi ya ubunge na kujiunga na CCM. Ikumbukwe ni siku chache tu baada ya mbunge wa Kinondoni kupitia CUF (Maulid Mtulia) kujiuzulu na kuhamia CCM. Ni katika mfululizo wa Viongozi na wakereketwa mbalimbali kutoka vyama vya upinzani kuvihama vyama vyao na kujiunga na chama tawala cha CCM.


MAGUFULI AGOMA KUZIKWA DODOMA, ARUDISHA ARDHI KWA WANANCHI.

Rais Magufuli amerudisha ardhi yenye ukubwa wa zaidi ya ekali 100 kwa wananchi mjini Dodoma na kusema kuwa yeye atakapokufa asizikwe mjini Dodoma. Eneo hilo lilitengwa na serikali kwa ajili ya maziko ya viongozi mjini hapo lakini viongozi wengi wamekuwa wakipendelea zaidi kuzikwa kwao. Magufuli ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa nyumba za Iyumbu mkoani Dodoma."Mimi nimeshasema nikifa nazikwe kule nyumbani alikozikwa....

Saturday, 9 December 2017

BABU SEYA NA MWANAE WAPATA UHURU SIKU YA UHURU.

Babu Seya akiwa na mwanaye Papii Kocha
Shangwe na nderemo vimesikika kutokakwa Watanzania walio maeneo tofauti tofauti ya nchi ya Tanzania hususani waliokuwepo ndani ya uwanja wa Jamhuri yalipo makao makuu ya Tanzania Dodoma na wale waliokuwa majumbani wakifuatilia sherehe za kuadhimisha miaka 56 ya kupatikana kwa Uhuru wa Tanganyika uliopatikana tarehe 9/12/1961. Shangwe hizo kubwa zilitokana na kauli ya mgeni rasmi katika sherehe hizo ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli ambaye mbali na kusamehe wafungwa 8157 leo