ABOUT UDOMSSO

The University of Dodoma Sociology Students' Organization (UDOMSSO) is an academic and social organization which is under the department of Sociology and Anthropology in the College of Humanities and Social Sciences.

MISSION

Our mission is to Organize, Coordinate and Facilitate all activities relating to our areas of interest for social progress.

VISSION

UDOMSSO has a vission to become an effective students' organization and to spearhead for a positive community for both academic and social matters which affect students' daily life and the community at large.

Translate

Monday, 26 February 2018

HIZI NDIZO FEDHA ZENYE THAMANI NDOGO ZAIDI DUNIANI.

Ukizungumzia thamani ya pesa, watu wengi hupenda kujua na kufuatilia zaidi fedha zenye thamani kubwa zaidi. Na hapa zitatajwa fedha kama vile Paundi ya Uingereza, Euro, Dola ya Kimarekani na nyingine zenye thamani kubwa kama hizo.

Lakini Je, unazijua fedha zenye thamani ya chini kabisa ulimwenguni? Hizi hapa ni Chache kati ya hizo.