ABOUT UDOMSSO

The University of Dodoma Sociology Students' Organization (UDOMSSO) is an academic and social organization which is under the department of Sociology and Anthropology in the College of Humanities and Social Sciences.

MISSION

Our mission is to Organize, Coordinate and Facilitate all activities relating to our areas of interest for social progress.

VISSION

UDOMSSO has a vission to become an effective students' organization and to spearhead for a positive community for both academic and social matters which affect students' daily life and the community at large.

Translate

Tuesday, 16 May 2017

WANAFUNZI UDOM WALITEMBELEA BUNGE.


Jumuia ya wanafunzi wanaosoma sosholojia katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOMSSO) wamefanya ziara yao Bungeni ambapo walihudhuria katika kikao cha asubuhi kwanzia saa tatu. 



Ziara hiyo ambayo ilikuwa na wanafunzi zaidi ya 30 ilipangwa na viongozi wa Jumuiya hiyo na baadhi ya wanafunzi wa shahada ya kwanza kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa tatu walihudhuria. 

Aidha baadhi ya wanafunzi wameelezea furaha yao kwa kuweza kuhudhuria katika kikao hicho na ikiwa ni mara yao ya kwanza kuingia ndani ya bunge hilo huku wengine wakiwa wameshaingia zaidi ya mara mbili.

No comments:

Post a Comment