Msikilize hapa alichokizungumza Mbunge wa Siha kupitia CHADEMA Dr. Molel mara baada ya kujiuzulu nafasi ya ubunge na kujiunga na CCM. Ikumbukwe ni siku chache tu baada ya mbunge wa Kinondoni kupitia CUF (Maulid Mtulia) kujiuzulu na kuhamia CCM. Ni katika mfululizo wa Viongozi na wakereketwa mbalimbali kutoka vyama vya upinzani kuvihama vyama vyao na kujiunga na chama tawala cha CCM.
ABOUT UDOMSSO
The University of Dodoma Sociology Students' Organization (UDOMSSO) is an academic and social organization which is under the department of Sociology and Anthropology in the College of Humanities and Social Sciences.
MISSION
Our mission is to Organize, Coordinate and Facilitate all activities relating to our areas of interest for social progress.
VISSION
UDOMSSO has a vission to become an effective students' organization and to spearhead for a positive community for both academic and social matters which affect students' daily life and the community at large.
Translate
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment